Wakaazi wa Pokoti Magharibi wakosa makaazi kutokana na mporormoko wa ardhi uliosababishwa na mvua ku
28th December, 2019
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 10.0px Arial}
span.Apple-tab-span {white-space:pre}
</style>
Mamia ya waakazi wa chekamos katika kaunti ya Pokot Magharibi wamelazimika kutorokea maeneo salama baada ya maporomoko ya ardhi kutokea katika eneo hilo wiki tatu zilizopita. Maeneo hayo ni katika shule na sasa wasiwasi wao ni kwa kwenda wakati muhula mpya unatarajiwa kuanza.