Visa vya utundu barabara vimeripotiwa kuongezeka msimu huu wa Krismasi
27th December, 2019
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.4px; font: 10.0px Arial}
span.Apple-tab-span {white-space:pre}
</style>
Mkuu wa polisi Hillary Mutyambai majuzi alitoa amri ya kukamatwa na kushtakiwa kwa abiria yeyote atakayekiuka sheria za barabarani. mutyambai aliamuru maafisa wake kuwa macho hasa akilenga abiria ambao watapatikana wakiwa wameruindakana kwa magari ya umma kuliko idadi ya.Uchunguzi wa ktn unabaini kwamba amri hiyo huenda imepuuzwa kwani kuna visa vingi vya utundu ambavyo vimeripotiwa.