Wafanyakazi wa KTN News washerehekea Krismasi kwa vishindo
26th December, 2019
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 10.0px Arial}
span.Apple-tab-span {white-space:pre}
</style>
Wafanyikazi wa ktn news walikuwa na krimasi ya aina yake na walinunuliana zawadi mbalimbali. Hafla hiyo ilifanyika katika chumba cha habari katika makao makuu ya Standard Group katika barabara ya Mombasa. Ni shughuli iliyokuwa na msisimko mkubwa miongoni mwa maripota,wahariri, wapiga picha na jumuiya nzima ya KTN News.