×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakaazi wa Kisumu waathiriwa na mvua kubwa

26th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>

Sherehe za krismasi zilikatizwa kwa mamia ya wakazi wa Kisumu baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko Kulingana na wakaji wa mji wa kisumu, mvua nyingi  ilishuhudiwa kuanzia saa kumi alfajiri na kuwaacha wakaaji  katika maeneo ya Nyamasaria, Manyatta, Mowlem na Kibos na hasara baada ya maji ya mafuriko kuingia katika makazi yao.

.
RELATED VIDEOS