.
20th December, 2019
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>
Soko la Naivasha huenda likafungwa kutokana na hali duni  ya mazingira ambayo imekuwa tishio kwa afya. Hali hii inatokana na mafuriko ya mara kwa mara katika soko hilo na  mikondo ovyo ya kupitisha maji taka. Wafanyibiashara wanaitaka serikali ya kaunti ya nakuru kuingilia kati  kuhakikisha ujenzi wa mnada huo unamalizwa kwa wakati.