.
19th December, 2019
Waziri wa elimu Prof. George magoha jana aliwatambua na kuwasifia wanafunzi waliopata alama chini ya 300 kwenye mtihani wa KCPE na baadaye kupata zaidi ya C+ kwenye mtihani wa kcse. Samson Gachie Muchai alikuwa mmoja wao. Alipata alama 277 miaka minne iliyopita na hapo jana aliwashtua wengi baada ya kupata alama ya A-