×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waendesha mashua Malindi waandamana kulalamikia usimamizi mbaya katika Marine park

18th December, 2019

Shughuli za kawaida zilitatizika kwenye hifadhi ya wanyama wa majini ya Marine national park huko Malindi baada ya waendesha mashua kufanya maandamano wakilalamikia usimamizi mbaya. Wahudumu hao wanasema usimamizi umeongeza ada na kubuni sheria mpya bila kuwashirikisha.

.
RELATED VIDEOS