18th December, 2019
Shughuli za kawaida zilitatizika kwenye hifadhi ya wanyama wa majini ya Marine national park huko Malindi baada ya waendesha mashua kufanya maandamano wakilalamikia usimamizi mbaya. Wahudumu hao wanasema usimamizi umeongeza ada na kubuni sheria mpya bila kuwashirikisha.