×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waakazi wa Embakasi wamtetea Mutua huku mbuge Sankok akipuzilia mbali madai ya Mutua

18th December, 2019

Baadhi ya wenyeji wa eneo la Embakasi hapa Nairobi wamejitokeza kumtetea gavana wa Machakos Dr. Alfred Mutua kutokana na madai yake kuwa maisha yake yamo hatarini.Wananchi hawa wameitaka serikali kuchukua hatua madhubuti na pia kuhakikisha kwamba usalama wa kila mwananchi unazingatiwa. mbunge maalum David Sankok hata hivyo amepuzilia mbali madai ya mutua akitaja kuwa ni sarakasi.

.
RELATED VIDEOS