.
18th December, 2019
Baadhi ya wenyeji wa eneo la Embakasi hapa Nairobi wamejitokeza kumtetea gavana wa Machakos Dr. Alfred Mutua kutokana na madai yake kuwa maisha yake yamo hatarini.Wananchi hawa wameitaka serikali kuchukua hatua madhubuti na pia kuhakikisha kwamba usalama wa kila mwananchi unazingatiwa. mbunge maalum David Sankok hata hivyo amepuzilia mbali madai ya mutua akitaja kuwa ni sarakasi.