×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Zaidi ya familia 2,000 zimeathiriwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini

17th December, 2019

<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} span.Apple-tab-span {white-space:pre} </style>

Zaidi ya familia elfu mbili katika kaunti ya Nakuru zimeathiriwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika sehemu tofauti nchini . Maeneo yaliyoathirika ni pamoja na Molo, Kuresoi Kaskazini, Subukia na Ndabibi,Naivasha na tayari vifo vya watu 15 vimeripotiwa. Zaidi ya familia tisini zilipoteza makazi  katika kijiji cha Ndabibi huko  Naivasha kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika eneo la Maela na Narok.

.
RELATED VIDEOS