×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mvulana aliyepashwa tohara anauguza majeraha za sehemu nyeti, baada ya kushambuliwa na mlinzi wake

16th December, 2019

Mvulana mmoja mwenye umri wa miaka 14 aliyepashwa tohara anauguza majereha mabaya katika hospitali kuu ya Nakuru. Mvulana huyo anadai mlezi wake wa jandoni alimshambulia kwa chupa ya soda na kumjeruhi vibaya. Babake kijana huyo sasa analilia haki ya mwanawe kwani uchunguzi wa matibabu umebaini alijeruhiwa nyeti zake pia. Kisa hiki aidha kikiwa mojawapo wa vingi ambavyo vimesheni katika siku za hivi karibuni.

.
RELATED VIDEOS