.
16th December, 2019
Idara ya mahakama imepata pigo baada ya jaji wa mahakama ya rufaa mjini kisumu Otieno Odek kupatikana amefariki katika nyumba yake Kisumu. Jaji huyo amefariki siku ambayo alifaa kuanza juma kama jaji msimamizi wa shughuli zote za mahakama hiyo juma hili.