.
15th December, 2019
Baraza la waislamu nchini (SUPKEM) limepinga hatua ya Rais Uhuru Kenyatta kuongeza muda wa kuhudumu kwa jopokazi la BBI. Kaimu mwenyekiti wa Supkem Hassan Ole Naado amesema kwamba jopokazi hilo la watu kumi na wanne halitakuwa na usawa na uwazi katika kuchukua maoni ya umma kuhusu mapendekezo yake