.
15th December, 2019
Huenda Mike Sonko akatemwa kama gavana wa nairobi, baada ya wabunge wa kaunti ya Nairobi kukutana jana, kujadili miongoni mwa masuala mengine pendekezo la kumngátua Sonko kufuatia agizo la mahakama kwamba asikanyage ofisini mwake City Hall. Haya yanajiri Sonko akitarajiwa kujibu mashtaka ya kuwashambulia polisi mjini voi wakati wa kukamatwa kwake wiki moja iliyopita.