×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sonko kusalia ndani hadi Jumatano

9th December, 2019

Gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko atasalia korokorokoni kwa siku 2 zaidi hadi siku ya jumatano ambapo itaamuliwa iwapo mahakama itakubali ombi la kumpa dhamana kwa mashtaka ya ufisadi yanayomkabili. Gavana Sonko pamoja na maafisa wengine wakuu katika  kaunti ya Nairobi walifikishwa mbele ya hakimu wa mahakama ya kupambana na ufisadi Douglas Ogoti ambapo walikanusha mashtaka hayo. Aidha maafisa wa polisi wa kukabiliana na fujo walifunga barabara mbalimbali ili kuzuia wafuasi wa gavana huyo kutatiza shughuli za kawaida. mwanahabari wetu Sirajurahman Abdullahi anatuarifu kwa kina.

.
RELATED VIDEOS