.
8th December, 2019
Mvua kubwa inayoshuhudiwa nchini inaendelea kusababisha maafa, tayari watu 140 wameaga dunia kote nchini na hii leo shughuli za usafiri zimetatizwa katika barabara kuu ya Namanga kuelekea kajiado baada ya udongo kufunika barabara hiyo kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha.