×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mito yazidi kuvunja kingo zao baada ya mvua kubwa

8th December, 2019

Mvua kubwa inayoshuhudiwa nchini inaendelea kusababisha maafa, tayari watu 140 wameaga dunia kote nchini na hii leo shughuli za usafiri zimetatizwa katika barabara kuu ya Namanga kuelekea kajiado baada ya udongo kufunika barabara hiyo kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha.

 

.
RELATED VIDEOS