.
6th December, 2019
Awamu Ya Mwaka Huu Ya Mashindano Ya Mpira Wa Vikapu Kwa Wachezaji Wasiozidi Umri Wa Miaka 14 Imekamilika Hii Leo Katika Uwanja Wa Nyayo Hapa Jijini Nairobi. Mashindano Hayo Ambayo Huandaliwa Kila Mwaka Yaliwaleta Pamoja Wachezaji Chipukizi Kutoka Nairobi Na Mombasa, Lengo Kuu Likiwa Kukuza Vipaji Na Kuwasaidia Wachezaji Kupata Fursa Za Kucheza Na Kusoma Ugaibuni.