.
6th December, 2019
Watu wanne wamethibitishwa kufariki baada ya jengo lenye ghorofa sita kuporomoka katika eneo la Tassia hapa jijini Nairobi.Kulingana na katibu wa wizara ya mipango watu takriban arobaini na sita walikuwa wapangaji na kufikia sasa shughuli za uokozi zinaendelea.