.
4th December, 2019
Vyama vya kisiasa pamoja na taasisi ya masuala ya demokrasia nchini (CMD) vinataka bunge litunge kwa haraka sheria kuhusu kura ya maoni itakayotoa mwelekeo mwafaka iwapo wakenya wataamua marekebisho ya katiba yafanywe kupitia kura ya maamuzi. Aidha kundi hilo linaitisha marekebisho ya iebc yafanywe haraka iwezekanavyo kutokana na hali kwamba uchaguzi wa mwaka 2022 unakaribia.