×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

EAC yaidhinisha miaka ishirini

2nd December, 2019

Jumuiya ya Afrika Mashariki inatimiza miaka 20 tangu kuundwa upya baada ya jumuiya ya mwanzo kusambaratika mwaka 1977. Hata hivyo tathmini ya miaka 20 inaonesha kuwa jumuiya hiyo bado ina safari ndefu ya kutimiza lengo la kuanzishwa kwake. Maadhimisho ya sherehe hiyo ya miaka 20 yamefanyika katika makao makuu ya jumuiya hiyo mjini arusha nchini Tanzania. Mwanahabari wetu Rajabu Hassan yupo mjini Arusha na ifuatayo ni taarifa yake.

.
RELATED VIDEOS