.
2nd December, 2019
Huku mvua ikiendelea kunyesha maeneo mengi nchini , mafuriko yamendeelea kusababisha hasara na mahangaiko katika kaunti mbalimbali na kuathiri shughuli za kawaida .Baadhi ya wakazi wanaishi kwa hofu wasijue ni kipi kitatukia hasa baada ya watabiri wa hali ya anga kusema kwamba mvua itaendelea kunyesha kwa muda