.
30th November, 2019
Mwanahabari Wa Runinga Ya Ktn News Fridah Mwaka Leo Hii Amejiunga Rasmi Na Ligi Ya Wanandoa Baada Ya Kufunga Ndoa Kwenye Harusi Ya Kukata Na Shoka Kati Yake Na Mpenziwe Wa Tangu Utotoni Sammy Nguma. Mbwembwe Na Shamrashamra Zilishuhudiwa Kwenye Harusi Hiyo Iliyofanyika Katika Klabu Ya Mnarani Kaunti Ya Kilifi. Wanahabari Wa KTN NEWS Walijiunga Na Wanadoa Hao Kwenye Harusi Hiyo.