.
25th November, 2019
Polisi eneo la Imenti ya kati kaunti ya Meru wanawasaka vijana wawili ambao wanadaiwa kumshambulia mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 47 katika kijiji cha Kithaku.
Inadaiwa kuwa kando na kumpa kichapo, mzee huyo walijeruhi sehemu zake za siri, tukio lililopelekea yeye kulazwa hospitalini.