×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu watano wafariki kutokana na mafuriko Kajiado

25th November, 2019

Watu watano wa familia moja wamefariki usiku wa kuamkia leo kufuatia kusombwa na mafuriko katika eneo la Ngatatai kaunti ya Kajiado. Miili ya watano hao waliokuwa wakisafiri kutoka eneo la Namanga kuelekea Bisil ilipatikana majira ya saa kumi asubuhi alfajiri. 

Akidhibitisha kisa hicho afisa mkuu wa polisi katika eneo hilo Daudi Loronyokwe amewasihi madereva kuwa makini wanapoendesha magari wakati huu wa msimu wa masika. Miili ya watano hao imepelekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali ya Kajiado

.
RELATED VIDEOS