×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

MWISHO WA NYEMBE: Jinsi ambavyo kampeni na hamasisho zimechangia kudhibiti mila duni

14th November, 2019

Tohara ya wanawake ni mila ambayo imekuwapo kwa miaka mingi. Ila kampeni na hamasisho kutoka kwa wadau, utunzi wa sera maalum na sheria mahsusi za kukabiliana na ukeketaji vimechangia zaidi ufanisi wa juhudi za kuidhibiti mila hiyo. Anavyoripoti Shadrack Mitty, kwenye makala maalum? Mwisho wa Nyembe? yapo matumaini ya kutokomeza kabisa mila na desturi hiyo dhalimu. Tayari yapo maeneo na vijiji katika kaunti ya Kajiado ambako tohara ya wanawake haipo kamwe. Yote yakiwa matokeo ya jamii kuelimishwa kuhusu sheria na adhabu kali kwa wahusika.

 

.
RELATED VIDEOS