×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Eugene Wamalwa aongoza shughuli ya kusambaza Chakula cha Msaada kwa wenyeji wa Wajir

9th November, 2019

Serikali Imeendelea Kusambaza Chakula Cha Msaada Kwa Jamii Zilizoathirika Na Mafuriko Maeneo Ya Kaskazini Mashariki Mwa Nchi. Waziri Wa Ugatuzi Eugine Wamalwa Akishirikiana Na Gavana Wa Wajir Mohamed Abdi Waliongoza Shughuli Hio Katika Maeneo Ya Eldas, Basir, Lakoley Na Bagala. Kaunti Za Wajir, Mandera Na Tana River Zimeathirika Na Mafuriko Hayo Ambayo Yamewaua Watu Saba Kufikia Sasa Na Kuwaacha Maelfu Bila Makao.

.
RELATED VIDEOS