.
6th November, 2019
Batabibu wanaogoma jijini nairobi wametupiwa vitoza machozi na polisi katika Bustani ya Uhuru walipokuwa wakijipanga kuelekea majengo ya bunge. Baadaye walifikisha hoja zao bungeni huku wenzao wa kaunti ya elgeyo marakwet wakitoana kijasho na serikali ya kaunti kuhusu marupurupu, mishahara na makubaliano ya jumla baina ya muungano wa matabibu na waajiri.