×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Almashauri ya kitaifa ya watu wanaoishi na ulemavu yasherekea siku ya fimbo nyeupe ya kifahari

6th November, 2019

Halmashauri ya kitaifa ya watu wanaoishi na ulemavu hii leo iliandaa hafla ya kusheherekea siku ya kimataifa ya fimbo nyeupe. Siku hiyo imetengwa kwa ajili ya kutathmini mafanikio na changamoto zinaowakumba walio na ulemavu wa kuona. Ulimwenguni kote, fimbo nyeupe hutambulika kama ishara ya uhuru na ukakamavu wa wasio na uwezo wa kuona. 

.
RELATED VIDEOS