×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wa Tharaka Nithi na Meru kuenda mahakamani kupinga matokeo ya sensa

5th November, 2019

Viongozi wa siasa kutoka kaunti ya Tharaka Nithi wametishia kwenda mahakama kuu kupinga matokeo ya idadi ya watu katika kaunti hiyo. Gavana Muthomi Njuki amesema matokeo yaliyoorodhesha kaunti hiyo kuwa na  idadi ya watu laki tatu, tisini na tatu elfu, mia moja sabini na moja,haidhihirishi hali halisi. wanasiasa hao sasa wanataka shughuli ya kuhesabu watu irudiwe katika kaunti hiyo.

.
RELATED VIDEOS