.
5th November, 2019
Palizuka purukushani wakati gavana wa nairobi Mike Sonko alipokuwa akielekea katika tume ya maadili na kukabili ufisadi, EACC kujibu maswali kuhusu historia yake na mkono wa sheria. EACC inasema Sonko hakutoa taarifa sahihi kuhusu jinsi alikwepa kifungo cha jela.