Watu kumi na moja wakamatwa kutokana na mozo katika mpaka wa Tana River na Kitui
4th November, 2019
Wafanyikazi 11 Wa Serikali Ya Kaunti Wametiwa Mbaroni Kufwatia Mzozo Wa Mpaka Kati Ya Kaunti Za Kitui Na Tanariver. Hamza Yuuf Anaarifu Zaidi Kutoka Kaunti Ya Tana River