.
1st April, 2019
Hali ya ukame ikiendelea kushuhudiwa nchini, Wafugaji wa kuhamahama katika Kaunti ya Marsabit wanalaumu serikali ya kitaifa na ile ya Kaunti kwa kuwatelekeza wakati huu mgumu. mamia ya mifugo wakiwemo ngamia ambao wana uwezo wa kuvumilia nja na kiu, sasa wanakufa.