×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

43.3% ya vijana waKenya wanaohitimu wamekosa nafasi za ajira

1st April, 2019

Ukosefu wa nafasi za ajira kwa vijana wanaohitimu katikavyuo mbalimbali ni kitendawili ambacho kinaendelea kukosa kuteguliwa. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa mamlaka ya ajira nchini (National Employment Authority) Dishon Atemo, idadi hiyo sasa imefikia asilimia arobaini na tatu nukta tatu. Hii ni licha ya ufadhili wa benki ya dunia wa dollar za marekani milioni mia moja hamsini kwa mradi wa hazina ya kubuni nafasi za ajira kwa vijana. Haya yalisemwa kwenye hafla ya kufuzu kwa wanafunzi katika chuo cha Queens College huko Rongai.

.
RELATED VIDEOS