.
1st April, 2019
Kampeni za uchaguzi mdogo zimechacha katika eneo bunge la Ugenya. Chama cha odm kinaendeleza kampeni hizo chini ya uongozi wa Seneta wa Siaya James Orengo ambapo wameendeleza matamshi ya kumpasha Naibu Rais William Ruto kwamba hajajinasua bado kutoka kwa minyororo ya ya kubanduliwa ofisini.