30th March, 2019
Katika sehemu ya pili ya makala maalum ya siri ya mauti, mwanahabari Nicholas Wambua anauliza maswali ya uwezekano wa mume wa patricia mueni stephen gitau kibue kuwepo kwenye nyumba ya patrcia ambapo mama huyo aliaga dunia pamoja na bintiye wa miaka ishirini agnes wanjiru na kitinda mimba wa mwaka mmoja raphael gitau. Hata hivyo jumbe za agnes kwa dadake zinaonesha binti aliyekuwa akitaabika haswa inapobainika kuwa alikuwa ameletwa nairobi na mamake mzazi kinyume na mapenzi yake. Familia hiyo iliaga kwa sumu.