×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

VIONGOZI: Utovu wa usalama katika eneo la Gadera umechchewa

27th March, 2019

Viongozi wa kisiasa na wafanyabiashara kutoka Lagdera kaunti ya Garissa wanamtaka waziri wa usalama wa ndani fred matiang'i atume maafisa wengi wa usalama katika eneo hilo, kutokana na utovu wa usalama eneo hilo. watu wawili waliuawa huko Lagdera mwishoni mwa juma, ambapo sasa wanawashutumu baadhi ya viongozi kwa kuchochea hali hiyo.

.
RELATED VIDEOS