×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Alice Shiundu anayefanya biashara ya samaki katika mpaka wa Kenya na Uganda

26th March, 2019

Mama Alice Shiundu amekuwa akiuza samaki katika mpaka wa Kenya na Uganda katika kituo cha mpakani cha malaba kwa miaka kumi sasa. Biashara yake humlazimu kuraukia nchini uganda anakowanunua samaki na kuja kuwauza nchini kenya na katika miji mingine. Sasa amekuwa maarufu sana wanunuzi wake wakitoka maeneo mbali mbali. 

.
RELATED VIDEOS