×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

EACC yapiga darubini kwa vyama vya akiba (SACCOs)

25th March, 2019

Mameneja wa vyama vya akiba na mikopo wameonywa kwamba uadilifu wao upo kwenye mizani ya tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC. Sasa watalazimika kuwasilisha stakabadhi za kuonyoseha kuaminiwa kwao kusimamia fedha za wanachama, hii ikiwa ni hatua mahsusi ya kukomesha ubadhirifu uliokithiri kwenye vyama hivyo. Haya yametangazwa wakati huu ambapo vyama hivyo maarufu sacco vinapowasilisha mahesabu ya fedha zao.

.
RELATED VIDEOS