25th March, 2019
Familia moja katika kijiji cha kapong?turkana kusini wanaishi tu kwa kula ngozi ya ngamia wao waliokufa kutokana na ukame ambao umedumaza maisha katika kaunti ya turkana. Licha ya serikali ya kaunti kuanzisha mchakato wa kusambaza vyakula, maeneo mengine bado hayajapata chochote.