Watu wanne wamefariki katika eneo la Turkana kusini kutokana na baa la njaa
19th March, 2019
Watu wanne wamefariki katika eneo la Turkana kusini, hali imeendelea kuwa tete katika kaunti ya Turkana huku wadau wanaohusika wakionekana kunyosheana vidole vya lawama.