×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Seneta Gideon Moi ameongoza shughuli ya kugawa chakula cha msaada

19th March, 2019

Seneta wa Baringo Gideon Moi ameongoza shughuli ya kugawa chakula cha msaada kwa waathiriwa wa baa la njaa huko baringo. Takriban watu elfu sabini na tatu katika kaunti ya baringo wanakabiliwa na baa la njaa. Kutokana na hilo hii leo chakula cha msaada kimeanza kutolewa kwa wenyeji. Kaunti ya baringo ni miongoni mwa kaunti 12 ambazo zimeathiriwa na baa la njaa. 

.
RELATED VIDEOS