×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shule ya Upili ya Kabarak leoimeadhimisha miaka 40 tangu kuanzishwa kwake | KABARAR 40TH ANNIVESARY

16th March, 2019

Shule ya Upili ya Kabarak hii leoimeadhimisha miaka 40 tangu kuanzishwa kwake. Shule hiyo pia ilikuwa inasheherekea ushindi wao katika mitihani ya KCSE mwaka uliopita ambapo wanafunzi 30 walipata alama ya A. Viongozi Waziri wa Michezo Amina Mohammed aliyekuwa m geni rasmi alipongeza mwanzilishi wa taasisi hiyo Daniel Toroitich arap Moi kwa juhudi zake za kuinua kiwango cha masomo nchini. 

.
RELATED VIDEOS