×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nakuru itashirikiana na familia za waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege

12th March, 2019

Mwakilishi wa kike Kaunti ya Nakuru Lisa Chelule amesema viongozi wa kaunti hiyo watashirikiana kuwaliwaza familia za waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya shirika la ethiopian airlines. Kaunti ya nakuru ni mojawapoi ya kaunti iliyopoteza watu zaidi kwenye ajali hiyo mabapo familia moja ilipoteza watu watano.

.
RELATED VIDEOS