.
12th March, 2019
Chama cha watu walioathirika na machafuko ya baada ya uchaguzi mwaka 2007 walizua kizaazaa hapo jana pale walipomkamata afisa mkuu mtendaji wa chama hicho stephen mbugua na kumpeleka katika kituo cha polisi mjini nakuru. Mgogoro unahusu shilingi bilioni 6.5 zilizokusudiwa kutolewa kwa waathiriwa hao.