×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ufadhili wa Kiswahili upo mashakani katika Jumuiya ya Afrika Mashariki

4th March, 2019

Kamisheni ya kiswahili ya Afrika Mashariki iliyo na jukumu la kuendeleza lugha ya kiswahili katika nchi za jumuiya ya afrika mashariki inakabiliwa na upungufu wa bajeti unaokwamisha shughuli zake.  Kwa mujibu wa ripoti ya kamisheni hiyo iliyowasilishwa katika vikao vya bunge la nne la jumuiya ya Afrika mashariki linalofanyika visiwani Zanzibar nchini Tanzania.

.
RELATED VIDEOS