×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nabii David Owuor awekwa katika darubini

4th March, 2019

Kiongozi wa huduma ya repentance and holiness prophet David Owuor amewekwa katika darubini hii leo familia ya mmoja wa wachungaji wake ikidai kuwa ni  mlaghai. Familia ya mchungaji Jane Njagi inadai kuwa owuor kwa zaidi ya mwongo mmoja amekuwa akitumia mali ya mama huyo kuendesha huduma zake huku wakimnyima fursa ya kutangamana na familia yake pamoja na kumilki stakabadhi zake.

.
RELATED VIDEOS