×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ibrahim Sheikh wa chama cha KANU amewasilisha stakabadhi

26th February, 2019

Ibrahim Sheikh wa chama cha KANU leo amewasilisha stakabadhi zake katika tume ya uchaguzi  tawi la wajir magharibi akitaka kuwaniakiti cha ubunge  katika uchaguzi mdogo utakaofanyika tarehe 25 aprili mwak huu. Hii ni baada ya mahakama ya upeo wa juu kutupilia mbali ushindi wa aliyekuwa mbunge wa sehemu hiyo kolosh mohamed. Alisindikizwa na wabunge wa chama hicho william kamket na naisula lesuuda miongoni mwa wanasiasa wengine wa chama cha KANU.

.
RELATED VIDEOS