26th February, 2019
Ibrahim Sheikh wa chama cha KANU leo amewasilisha stakabadhi zake katika tume ya uchaguzi tawi la wajir magharibi akitaka kuwaniakiti cha ubunge katika uchaguzi mdogo utakaofanyika tarehe 25 aprili mwak huu. Hii ni baada ya mahakama ya upeo wa juu kutupilia mbali ushindi wa aliyekuwa mbunge wa sehemu hiyo kolosh mohamed. Alisindikizwa na wabunge wa chama hicho william kamket na naisula lesuuda miongoni mwa wanasiasa wengine wa chama cha KANU.