.
25th February, 2019
Na kwenye kisa cha kuvunja moyo katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet ni kwamba misongamano ya miili katika mochari ya Rufaa ya Iten ambayo imesababishwa na uwepo wa miili ambayo haijatambuliwa na wenyewe imeifanya mochari hiyo kukosa nafasi na familia kutafuta hifadhi ya kuwasitiri wapendwa wao. Na kama anavyoraifu elvis kosgei, familia sasa zimelazimika kutafuta hifadhi kwingineno.