.
25th February, 2019
Seneta wa Kitui Enoch Wambua anadai haki kwa watu 36 ambao anadai ni wenyeji wa Kaningo, eneo la Tseikuru Kaunti ya Kitui waliokamatwa, kufunguliwa mashtaka eneo la maua kaunti ya meru na kisha kuzuiliwa huko.tetesi hizi zimesababishwa na malalamiko kutoka kwa wenyeji wa kitui wanaosaka majibu kuhusu kilichosababisha watu hao kufunguliwa mashtaka kaunti ya meru ilhali kuna mahakama kitui.