×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Familia katika Kaunti ya Kakamega inaishi kwa hofu ya kizazi kizima kuangamia

23rd February, 2019

Familia moja katika Kaunti ya Kakamega inaishi kwa hofu ya kizazi kizima  kuangamia  kutokana na ugonjwa usiojulikana ambao umekuwa ukiwaathiri watu wa familia hiyo mmoja baada ya mwingine.  Wakizungumza na mwandishi wetu wa maswala ya afya dr. Mercy korir, watu wa familia hiyo sasa wametoa ombi la wataalam wa tiba kuwasaidia kutegua kitendawili cha maradhi hayo.            

.
RELATED VIDEOS