.
23rd February, 2019
Eneo la Kaskazini Mashariki linatambulika kwa njaa na kiangazi. Lakini katika Kaunti ya Marsabit ipo chemichemi ya maji ambayo tangu jadi haijawahi kukauka.wakaazi wa eneo hilo wanadai kutohangaishwa na kiangazi wala athari zozote za ukosefu wa mvua. Nilizuru maeneo hayo ya kalacha na hii leo yanatupambia makala ya tembea kenya.